Saturday, July 30, 2016

NEPSTAR COMPANY-NAMNA YA KUJIUNGA NA FAIDA UTAKAYOIPATA..

Kampuni inaitwa NEPSTAR Inauza dawa asili za kichina za kimataifa TCM za kuponya magonjwa mbali mbali.                       Kujiunga kuna aina tatu za Combo Package, ukijiunga unapewa Card ( IDcard no:) na Vitabu kufahamu dawa zinavyofanya kazi na magonjwa husika. Wakati wa manunuzi kuna punguzo la bei 25% ukiuza ni faida. Katika dawa utakazopewa kwa pesa uliyotoa kuna Ujazo wa Biashara inaitwa BV( Business Volume) kwa kila dawa.                               Combo A.                      Utalipa  Tsh 360,000/= utapewa dawa zifuatazo:            10 goodcare pad.           2 Shark Cartilage.         2 Spirulina Platensis.   1 Lycopen Cap.           2 Ginkardio tab.           1 Melatonin.          Hizi ni sawa na dawa 9. BV 200.              Kwa faida ya 25% ya mauzo= 20,000/= kila dawa.             Faida 20000�9= 180,000/=                        Bonus 20% = 20/100�200�1600= 64000/=                >>> Jumla ya pato.              Mtaji.    360,000/=       Faida.   180,000/=        Bonus    64,000/=        Kipato.  604,000/=       
Karibu sana,h]faida hyo utaipata pindi tu utakapojiunga tena unaweza kutengeneza pesa zaidi ya hyo
wakati n sasa.;tuwasiliane kwa namba ;;0655 338899 au 0654 342752

BIASHARA YA MTANDAO-MAMBO YANAYOKWAMISHA WENGI KUFANIKIWA

MAMBO YANAYOSABABISHA WATU KUSHINDWA BIASHARA HII YA MTANDAO.

??Kupenda bidhaa kuliko mfumo wa biashara. Watu wengi uwaza kuuza bidhaa badala ya kuwaza kufanya uwekezaji kwa kujenga timu zao.

??Kutokubali kufundishika. Watu wengi ujifanya wajuaji kisa ni wasomi au wanacheo fulani ivyo ujifanya wanajua na kutokubali kujifunza

??Kutumia mitandao ya kijamii bila elimu ya kutosha.

??Kutokuwa na elimu ya kutosha kuhusu bidhaa za kampuni husika. Na hii usababishwa na watu kutotaka kupokea mafunzo kutoka kwa waliowatangulia ktk biashara

??Kujivika nyadhifa zisizo stail ktk biashara. Mfano mtu akishaanza kuuza bidhaa za afya anaanza kujiita dactari badala ya mshauri wa afya

??Kutaka mafanikio ya haraka ndani ya muda mfupi.

??Kutumia mbinu zinazogharimu pesa nyingi kuliko kipato chao.

??Kutaka kufanya biashara na kila mtu. Sio kila unayekutana naye anastahili.

??Kupenda kufanyiwa biashara. Yani watu utegemea downline wao wafanye badala yao badala ya kuendelea kuongeza juhudi bila kujali kama wapo. 

??Kutokuwajibika kuwafundisha downline wako. Sasa hii ndio inagharimu watu wengi. Usipomfundisha downline wako mwenyewe husifikilie kama atasonga mbele ata kidogo.

Hayo ni mambo ambayo yamekuwa yakipelekea watu wengi wanaingia ktk mfumo huu wa biashara lakini mwisho wa siku wanapotea baada ya muda mfupi.
KARIBU TUJADILIANE NA NIKUFUNDISHE SIRI ZA MAFANIKIO NDANI YA BIASHARA YA MTANDAO NA NI KAMPUNI ITAKUFAA KWA MAFANIKIO YAKO.
TUWASIRIANE KWA NO;0655 338899

IJUE NEPSTAR COMPANY LTD NA FAIDA ZAKE..

NEPSTA COMPANY LTD
iliingia ubia na kampunu kutoka china ijulikanayo kama NEPTUNUS COMPANY kwa lengo la kuwezesha kufikisha huduma ya kiafya kwa watu na kwaaji ya kukuza kipato cha mawakala/wasambazaji wake.
 basi tuangalie historia ya Neptunus kwa ufupi. Neptunus ni kampuni iliyo anzishwa mwaka 1989 baada ya viwanda vitatu vya umma kuungana. Viwanda hivi hujishugulisha na kutengeneza dawa za mahospitalini(natural drugs) yani dawa asili. Viwanda hivi ni 1?NEPSTAR CHAIN DRUGSTORE CO. LTD kipo new york stock exchange marekani
 2?NEPTUNUS BIO-ENGINEERING CO LTD kipo shenzhen stock exchange 

3? NEPTUNUS INTERLOG BIOTECHNIQUE CO LTD kipo hongkong. 

Hayo matatu ni masoko ya hisa ya kampuni ya neptunus. Kampuni hii ilianza kuzalisha dawa kabisa za kutibu magonjwa sugu na virutubisho mbalimbali ambazo leo ni changamoto kubwa duniani kwani mwaka 1998 kampuni hii ilitunikiwa tuzo ya GMP(Great manufacturer Company) hii ni kwa sababu ilitunikiwa tuzo miaka mitatu mfululizo za NOBEL kutokana na bidhaa ya GOLDEN OYSTER na GINKARDIO suluhisho la pressure. Hivyo bidhaa ziko kutimiza malengo ya mteja na mfanya biashara anae taka kutimiza ndoto.

Mwaka 2010 kampuni hii iliweka mikakati kuja kuisaidia AFRICA katika nyanja ya KIUCHUMI na kutokomeza MAGONJWA SUGU. 
Kampuni hii ilikaa chini na kupanga MIKAKATI chini ya usimamizi wa Ndug ZHANG SIMIN ambaye ni kijana mdogo aliyezaliwa mwaka 1969 na ni tajiri mkubwa sana china na anae miliki kampuni kubwa bora china nzima.�
Bwana ZHANG SIMIN alikaa chini na kuangalia makampuni mengine yaliyoko africa yalikuja na mtazamo gani na udhaifu gani katika bidhaa na biashara. Iliingia africa ikajenga makao makuu kila kanda GHANA,SOUTH AFRICA,KENYA,TANZANIA na Ikasambaa nchi zingine.

Ni kampuni ambayo inatengeneza dawa katika package za kisasa yaani SOFT GEL,CAPSULES,TABLETS. Dawa zote hizi zinatokana na mimea, matunda,samaki,na mboga mboga. Hizi ni 100% natural hazina chemical kabisa pia hawatumii vyakula na matunda ya kutengenezwa. Wanatumia mimea asilia. 

Ni kampuni ya pekee yenye DAWA �kabisa za kutibu magonjwa TABIA.
Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa no;0654 342752 au 0655 338899